![]() |
| Burj Khalifa-Dubai |
Lina ghorofa zipatazo 160 ambazo ni nyingi sana kulinganisha na jengo lililokuwa likijulikana awali kama ndilo refu kuliko yote duniani la Taipei lenye ghorofa 101.Ghorofa hilo ambalo ujenzi wake ulianza mwaka 2004, mbali ya kuwa jengo refu kuliko yote duniani ndilo pia jengo lenye lifti ndefu kuliko zote duniani.
2. Fahamu pikipiki aina ya Dodge Tomahawk,350 mph
Ndio yenye kasi zaidi kuliko zote ulimwenguni ina uwezo wa kwenda 560km/h pia ina uwezo wa kuzalisha horsepower 500 (370kw),Pikipiki hii ina cylinder 10, 90 degree v-type engine.
![]() |
| Dodge Tomahawk |
Inaweza kufika spidi ya 350 mph (560 km/h).Inaweza kuzalisha 500 horsepower (370kw), huku ikifwatiwa na Suzuki Hayabusa, MTT Turbine Superbike Y2K
Tazama video hapa👇

