Jumatano, 17 Januari 2018

JE WAJUA ACHA NIKUJUZE LEO!

1. Linajulikana kama Burj Khalifa ndio Jengo refu kuliko yote duniani lililopo Dubai ambalo limeenda angani mita 828 toka ardhini.
Burj Khalifa-Dubai

Lina ghorofa zipatazo 160 ambazo ni nyingi sana kulinganisha na jengo lililokuwa likijulikana awali kama ndilo refu kuliko yote duniani la Taipei lenye ghorofa 101.Ghorofa hilo ambalo ujenzi wake ulianza mwaka 2004, mbali ya kuwa jengo refu kuliko yote duniani ndilo pia jengo lenye lifti ndefu kuliko zote duniani.

2. Fahamu pikipiki aina ya Dodge Tomahawk,350 mph 
Ndio yenye kasi zaidi kuliko zote ulimwenguni ina uwezo wa kwenda 560km/h pia ina uwezo wa kuzalisha horsepower 500 (370kw),Pikipiki hii ina cylinder 10, 90 degree v-type engine.
Dodge Tomahawk

Inaweza kufika spidi ya 350 mph (560 km/h).Inaweza kuzalisha 500 horsepower (370kw), huku ikifwatiwa na Suzuki Hayabusa, MTT Turbine Superbike Y2K
Tazama video hapa👇
  

TAMBUA KANUNI ZA KUISHI NA WATU VIZURI

Mojawapo ya mambo muhimu katika mafanikio ya aina yoyote maishani ni kupata msaada wa aina Fulani kutoka kwa watu wengine. Mtu hawezi kufan...